Mhubiri 5 : 19 Ecclesiastes chapter 5 verse 19

Swahili English Translation

Mhubiri 5:19

Tena, kwa habari za kila mwanadamu, ambaye Mungu amempa mali na ukwasi, akamwezesha kula katika hizo, na kuipokea sehemu yake, na kuifurahia amali yake; hiyo ndiyo karama ya Mungu.
soma Mlango wa 5

Ecclesiastes 5:19

Every man also to whom God has given riches and wealth, and has given him power to eat of it, and to take his portion, and to rejoice in his labor--this is the gift of God.